bulb

  1. Miss Natafuta

    INAUZWA Security camera kama bulb, bei 30,000 tu

    Rudisha heshima na adabu nyumbani kwako. Watu waache kukaa kizembezembe Leo tunakuletea offer kabambe ya mwaka mpya Camera ni elfu 30 ukichukua anzia pc 3. PC moja ni elfu 30 Ni rahisi kutumia na unaiweka sehemu yoyote kama Ile bulb ya kawaida Unaweza kuconnect kwenye simu zaidi ya moja Ina mic...
  2. T

    Bulb zako za LED zimeungua? Usitupe, suluhisho limepatikana!

    Bulb za LED Zimeungua? Usitupe – Tunazitengeneza! Taa zako za LED zimeungua na hazifanyi kazi tena? Hapa ndipo suluhisho lako linapatikana Tunatengeneza bulb za LED zilizoungua na kuzifanya kuwa mpya tena. Hakuna haja ya kutupa! Tunatoa huduma ya haraka na ya kuaminika, na taa zako zitakuwa...
  3. Top007

    Nauza bulb Kwa bei nafuu

    Kampuni: Honor LED Watts 3 - 10,000 PC 10 Watts 5 - 12,000 PC 10 Watts 7 - 13,000 PC 10 Watts 9 - 14,000 PC 10 Free Delivery piga : 0614502969 Dar na mikoani
  4. Maleven

    Naomba muongoxo kwa Aliewahi kutumia wireless bulb camera

    Kuna hizi wireless bulb, naona ziko portable na unaeeza kuangalia popote, 1. Je cloud/live stream inalipiwa au ni free lifetime? 2. Ubora wake ukoje? Kama nina camera tatu, zote naweza kuzi manage katika app moja? 3. Kampuni gani ni nzuri?
  5. Mjomba Fujo

    Taa aina ya bulb inayowaka tangu mwaka 1901

    Taa aina ya bulb iliyopo katika state ya California imeendelea kuwaka tangu mwaka 1901 mpaka leo hii 2024, ilitengenezwa na Adolphe Chaillet muanzilishi wa kampuni ya Shelby Electric iliyoanzishwa mwaka 1890. Kwa kifupi ni haijawahi kuzimwa, inashikilia rekodi za Guiness kama taa iliyosalia...
  6. MRBIASHARA

    Tunauza taa za joto za kulelea vifaranga. (heat infrared light bulb)

    TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA. (HEAT INFRARED LIGHT BULB) ●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri. ●Taa moja hulea vifaranga 100 hadi 150. ●Huzalisha joto la kutosha hivyo humfanya kifaranga wako kufurahia maisha. ●Hudumu muda mrefu...
  7. M-mbabe

    Kurejeshwa kwenye Cabinet kwa mawaziri Simbachawene na Mwigulu - tatizo ni bulb au holder?

    Kama tunavyokumbuka, wakati mawaziri hawa wakiondolewa walikuwa branded kama "wazembe" na walikuwa almost criminalized na mamlaka ya uteuzi. Mamlaka ya uteuzi imefanya u-turn na kuwarejesha kwenye cabinet with pomp. Maswali ni mengi kwa kweli. Sina uhakika kama majibu yapo ya kutosha. Jee...
  8. Tajiri Tanzanite

    Karibu ununue mitambo ya solar,yenye uwezo mkubwa wa kuendesha Tv nchi 19, 24 na 32, pia inauwezo wa kuhudumia bulb mpaka 16

    Hapo vip! Hii ni mitambo inayotengenezwa Marekani ni mitambo Bora na imara kuliko mitambo ambayo umeshawahi kutumia kutoka katika makampuni mbalimbali. sifa ya mitambo hii. -hata jua likiwa hafifu panel zake zinacharge betry kwa kasi ya kubwa. -Hata jua lisipo toka week nzima unapata umeme...
Back
Top Bottom