Daan Lodewijk Samuel van Bunge (born 19 October 1982) is a Dutch former cricketer. He is a right-handed batsman and a right-arm leg break bowler.
He is the currently Director of Cricket at Haileybury in the UK. He also works as a PE teacher at a school in The Hague, Netherlands.
Bunge la Tanzania baada ya miaka 60 plus unakuta mjadala unahusu choo cha zahanati, kwamba real watu wanakutana Dodoma kujadili Choo cha zahanati fulani.
Unakuta wanajadili Madaraja na Makaravati, wanajadili matundu ya vyoo vya shule.
Na raia walivyo wajinga ndio vitu wanapenda kusikia, yaani...
Sijajua Kwanini kona zote za hii Bar Watu wote tunafuatilia impeachment ya Gachagua mubashara Citizen TV
Natamani akina Babu Tale na Kibajaj wafikie Viwango vya akina Omutata na Sakaya
Ila sijui itakuwa lini maana Zitto Kabwe na Halima Mdee Viwango vilipandaga na kushuka ghafla
Mlale Unono 😀
https://www.youtube.com/watch?v=nEuQW0S_9D8
Kesi ya kumng'atua Naibu Rais Rigathi Gachagua inayoendelea kwa sasa mbele ya Seneti imefuatia kupitishwa kwa hoja ya kumwondoa madarakani na Wabunge 281 ambao walikubaliana na madai yaliyowasilishwa na Mbunge wa Kibwezi Magharibi, Mwengi Mutuse...
Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo?
Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea...
Parliament has asked the Energy Ministry and the Treasury to change tack and build some three power transmission lines under a public-private partnership (PPP) to ease pressure on the Exchequer.
The three are the Loiyangalani-Marsabit, Marsabit-Isiolo and Gilgil-Thika-Konza lines, each with a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.