bunge la seneti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Bunge la Seneti nchini Kenya liko mbioni kujadili muswada wa kuondoa kurushwa moja kwa moja matokeo ya Urais

    Huko nchini Kenya, Bunge la Seneti liko mbioni kujadili Muswada unaolenga kufuta kurushwa moja kwa moja kwa matokeo ya uchaguzi wa rais yanayotangazwa kutoka vituo vya kupigia kura. Muswada huo unapendekeza kufutwa kwa Kipengele cha 39 cha Sheria ya Uchaguzi ambacho hulazimisha IEBC kurusha...
  2. U

    Seneta John Thune asema Marekani kuiwekea vikwazo ICC ikithubutu kutoa hati ya kukamatwa Netanyau au viongozi wengine

    Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo: Times of Israel Incoming Senate majority leader threatens ICC with sanctions over case against Israelis Senator John Thune warns US will impose restrictions on International Criminal Court if it moves ahead with arrest warrant requests against...
  3. G

    Chama cha Donald Trump "Republicans" wameshinda kura nyingi za kuongoza Bunge la Seneti

    Mods tafadhalni msiunge uzi huu popote, bunge la Marekani ni mhimili tofauti na uraisi Kuna mabunge mawili marekani, Bunge dogo ni Baraza la wawakilishi na Bunge kuu ni Seneti. Tayar Senate na urais vipo chini ya Republicans, Bado House / Baraza la wawakilishi ili kuikamata nchi kikamilifu...
  4. econonist

    Mawakili wa Gachagua wakimbia Seneti

    Katikati Hali ya kushangaza, mawakili wa Naibu wa Rais Mh Rigathi Gachagua wamekimbia kwenye bunge la seneti baada ya ombi lao la kuahirisha kikao Cha kumuondoa madarakani Makamu wa Rais mpaka Jumanne ya wiki ijayo kukataliwa. Naona Gachagua kaamua kurusha taulo. Pia soma: Naibu Rais Gachagua...
  5. Tabutupu

    Kwanini Tanzania hatuna Senate bali tuna National Assembly pekee yake?

    Nimeona Kenya wana mabunge mawili, National assembly na Senate? Kwanini Tanzania hatuna hii senate? Je, majukumu ya senate kwa Tanzania yanafanywa na nani? Kuuliza sio ujinga.
Back
Top Bottom