bunge la uganda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Marekani yafuta Viza ya Spika wa Bunge la Uganda

    Marekani umechukua uamuzi huo dhidi ya Anita Among huku Mbunge Asuman Basalirwa akisema yeye pia anaweza kuwa mwathirika wa kuwekewa vikwazo baada ya Uganda kuhalalisha Sheria dhidi ya LGBTQ. Kabla ya hatua hiyo, Rais wa Uganda, Museveni alipuuzia maoni na matakwa ya baadhi ya Nchi za Magharibi...
  2. Zijue adhabu za 'Ushoga' kwa Mujibu wa Muswada uliopitishwa na Bunge la Uganda

    Mbali na kuharamisha mapenzi ya jinsia moja, Muswada huo unapiga marufuku kueneza na kuunga mkono vitendo vya Ushoga na Ushoga uliokithiri. Ushoga uliokithiri unahusisha mapenzi ya jinsia moja na watu walio chini ya umri wa miaka 18, watu wenye Ulemavu, Wahalifu wa Mara kwa mara au wakati...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…