kwa siku za hivi karibuni hadi Bunge linakatiwa matangazo ya moja kwa moja (live coverage) na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) na chombo hicho kujiunga na kuripoti matukio ya warsha, makongamano na ziara za Viongozi.
Kwa Mamlaka lililopewa Bunge katika Ibara ya 63 ya Katiba ya Jamhuri ya...
Wanabodi,
Bunge ni moja ya mihimili mitatu ya dola, baada ya matangazo ya moja kwa moja ya Bunge kusitishwa, iliamuliwa kipindi cha Maswali na Majibu ndicho pekee kiendelee kutangazwa live.
Imeishatokea huko nyuma na sii mara moja wala mbili, matangazo haya Bunge Live kusitishwa kupisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.