NANCY HASSAN NYALUSI - AMEIULIZA MASWALI WIZARA YA NISHATI, BUNGENI, DODOMA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa Mhe. Nancy Hassan Nyalusi amemuuliza swali Waziri wa Nishati Bungeni, Dodoma leo tarehe 11 Aprili, 2023
Je, ni lini Serikali itakamilisha usambazaji wa umeme katika Vijiji 8 vya...