Habari za muda huu waunhwana.
Leo nimependa tuongee kidogo kuhusu busara na sheria
Katika kila taasisi kuna uongozi na uongozi huo ni kuongoza watu wenye akili, mtazamo, uelewa na pengine malengo na imani tofauti ambavyo huenda vyote hivyo haviendani na taasisi au malengo ya taasisi.
Je, nini...