A business idea is a concept that can be used for financial gain that is usually centered on a product or service that can be offered for money. An idea is the first milestone in the process of building a successful business.
The characteristics of a promising business idea are:
Innovative
Unique
Problem solving
Profitable
understandableA business idea is often linked to its creator who needs to identify the business' value proposition in order to launch to market and establish competitive advantage.
A business idea is the first spark of Entrepreneurship.
Habari wataalam!.
Kama title inavyojieleza hapo juu, nimepata wazo la app ambayo itasaidia wafanyabiashara wa mkoa na dar ata nje ya TZ kwa ujumla kununua bidhaa kwenye soko la kariakoo bila kutapeliwa na winga . Hii itasaidia wafanyabiashara wengi kupunguza gharama ya kuja Dar kununua bidhaa...
Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo na idea yako dm then tu discuss .Note usije na idea za kitapel au kubeti na wale ambao idea zao...
mpo mnapiga story mtu anapita nayo
umeenda kuomba mkopo benki wanahitaji kuiona business plan wanapita nayo
umeenda kwenye kampuni kuuza wazo wanakuwahi
n.k.
Umeumiza kichwa kufanya uchunguzi wa soko, location nzuri ya kutega, machimbo, gharama, wateja, n.k.
Ghafla unastuka kuna mwamba...
Habari mazee ,kitambo sijapost business ideas.
Leo nimekuja na wazo moja hivi naona linakuja linakata nikasema niforce kingi nilitoe hivyo hivyo tu, miezi kadha nyuma nilipata hamasa ya kutaka kujua zaidi biashara ya MAYAI YA KUCHEMSHA NA SOSEG ZA KUMCHEMSHA, nilitafuata wana wanaofanya hizo...
Biashara zipo kila Kona biashara yoyote ukiinvest Hela hata biashara ya makopo inaweza kukutajirisha.
Ila tatizo linakuja kwenye mtaji how to get capital malegend
AU tips Gani hutumika kukuza small Business mpaka iwe huge
Marathon Hub in Tanzania: Connecting Runners, Organizers, and Communities
As marathon running continues to gain popularity globally, Tanzania has become a prime location for these athletic events. Marathons like the Kilimanjaro Marathon, CRDB Marathon, and others attract thousands of...
Business idea hii itabase kwenye moja ya sehemu yenye idadi kubwa ya watu ukiacha mziki nayo si nyingine ni Soka(Mpira wa Miguu). Soka letu linakua kiasi sasa ni muda wa kutumia fursa mbalimbali zilizopo kwenye Soka.
Je ni ipi hiyo business idea?
Hii ni business idea kwa ajili ya kuanzisha...
Igweeeee
Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini
Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza kurogana ni kuanzisha NYAMA CENTER
NYAMA CENTER itakuwa inauza nyama za aina mbalimbali kama vile...
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana nimefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo.
Karibuni ndugu.
Habari wana JF.
Kuna idea imekuja gafla hapa nikasema ni share na wana kama niaje unaweza niambia kama its possible or day dreamer. Nowadays nimeona kwa DAR watu wengi wanapenda kucheza PS ila si kwa faida bali waste of time. Nikaona what if PS kitu ambacho wengi wamekizoea na wanashinda nacho...
Habari zenu wakuu
Kwanini na amini biashara ya ufugaji samaki ni fursa nzuri kwa mtu anayetaka kuwekeza?
Ni kwa sababu kuna upungufu mkubwa wa samaki kwenye vyanzo vya asili vya maji, wakati huo huo kuna ongezeko kubwa la idadi ya watu Duniani. Idadi ya watu duniani inaendelea kuongezeka...
Hii idea imenikaa kwa muda sasa na baada ya kufuatilia uzi wa Ni machine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara? nimeipa tafakuri zaidi.
Lakini sio hilo tu fikiria hata masuala ya vita yanayoendelea sasa hivi, kama Russia ingekuwa sio self sufficient country isingewezekana...
Hellow...
Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho.
Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.