business idea

A business idea is a concept that can be used for financial gain that is usually centered on a product or service that can be offered for money. An idea is the first milestone in the process of building a successful business.
The characteristics of a promising business idea are:

Innovative
Unique
Problem solving
Profitable
understandableA business idea is often linked to its creator who needs to identify the business' value proposition in order to launch to market and establish competitive advantage.
A business idea is the first spark of Entrepreneurship.

View More On Wikipedia.org
  1. Investaa

    Winga APP business idea!

    Habari wataalam!. Kama title inavyojieleza hapo juu, nimepata wazo la app ambayo itasaidia wafanyabiashara wa mkoa na dar ata nje ya TZ kwa ujumla kununua bidhaa kwenye soko la kariakoo bila kutapeliwa na winga . Hii itasaidia wafanyabiashara wengi kupunguza gharama ya kuja Dar kununua bidhaa...
  2. Kinyozi_tz

    Karibisho la Mawazo ya kibiashara

    Habarini wadau .Kama mnavyo fahamu katika harakati za maisha kuna watu wana idea za biashara na kuna watu wana pesa.Hivyo napenda kualika wote wenye mawazo ya kibiashara chini ya million tano njoo na idea yako dm then tu discuss .Note usije na idea za kitapel au kubeti na wale ambao idea zao...
  3. W

    Umewahi kuibiwa business idea / wazo la biashara ?

    mpo mnapiga story mtu anapita nayo umeenda kuomba mkopo benki wanahitaji kuiona business plan wanapita nayo umeenda kwenye kampuni kuuza wazo wanakuwahi n.k. Umeumiza kichwa kufanya uchunguzi wa soko, location nzuri ya kutega, machimbo, gharama, wateja, n.k. Ghafla unastuka kuna mwamba...
  4. Investaa

    Boring Business Idea!

    Habari mazee ,kitambo sijapost business ideas. Leo nimekuja na wazo moja hivi naona linakuja linakata nikasema niforce kingi nilitoe hivyo hivyo tu, miezi kadha nyuma nilipata hamasa ya kutaka kujua zaidi biashara ya MAYAI YA KUCHEMSHA NA SOSEG ZA KUMCHEMSHA, nilitafuata wana wanaofanya hizo...
  5. K

    Tatizo Sio business idea, tatizo ni mtaji mdogo, biashara zipo NYINGI Ila limit ni mtaji mdogo.

    Biashara zipo kila Kona biashara yoyote ukiinvest Hela hata biashara ya makopo inaweza kukutajirisha. Ila tatizo linakuja kwenye mtaji how to get capital malegend AU tips Gani hutumika kukuza small Business mpaka iwe huge
  6. Moaz

    Need Help about This Business Idea

    Marathon Hub in Tanzania: Connecting Runners, Organizers, and Communities As marathon running continues to gain popularity globally, Tanzania has become a prime location for these athletic events. Marathons like the Kilimanjaro Marathon, CRDB Marathon, and others attract thousands of...
  7. Moaz

    BUSINESS IDEA: TARGETED AREA "SOCCER"

    Business idea hii itabase kwenye moja ya sehemu yenye idadi kubwa ya watu ukiacha mziki nayo si nyingine ni Soka(Mpira wa Miguu). Soka letu linakua kiasi sasa ni muda wa kutumia fursa mbalimbali zilizopo kwenye Soka. Je ni ipi hiyo business idea? Hii ni business idea kwa ajili ya kuanzisha...
  8. Kifurukutu

    Business idea: kufungua nyama choma center

    Igweeeee Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza kurogana ni kuanzisha NYAMA CENTER NYAMA CENTER itakuwa inauza nyama za aina mbalimbali kama vile...
  9. Y

    Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa milioni tano (5)

    Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana nimefanikiwa kupata mtaji wa 5mls nilikuwa naomba ushauri/ideas za biashara/kitu kitakachonifanya nikue kiuchumi ambacho nitaweza kufanya kwa budget hiyo niliyonayo. Karibuni ndugu.
  10. Investaa

    PS5 Business Idea!!!

    Habari wana JF. Kuna idea imekuja gafla hapa nikasema ni share na wana kama niaje unaweza niambia kama its possible or day dreamer. Nowadays nimeona kwa DAR watu wengi wanapenda kucheza PS ila si kwa faida bali waste of time. Nikaona what if PS kitu ambacho wengi wamekizoea na wanashinda nacho...
  11. BwanaSamaki012

    The most profitable business idea (ufugaji samaki)

    Habari zenu wakuu Kwanini na amini biashara ya ufugaji samaki ni fursa nzuri kwa mtu anayetaka kuwekeza? Ni kwa sababu kuna upungufu mkubwa wa samaki kwenye vyanzo vya asili vya maji, wakati huo huo kuna ongezeko kubwa la idadi ya watu Duniani. Idadi ya watu duniani inaendelea kuongezeka...
  12. Uhakika Bro

    Ujasiriamali: Wazo lako la uchumi imara wa nyumbani :Self sufficient home based business idea

    Hii idea imenikaa kwa muda sasa na baada ya kufuatilia uzi wa Ni machine gani ambayo ukiipata itafungua njia zako za kibiashara? nimeipa tafakuri zaidi. Lakini sio hilo tu fikiria hata masuala ya vita yanayoendelea sasa hivi, kama Russia ingekuwa sio self sufficient country isingewezekana...
  13. Husninyo

    Mwenye mtaji wa milioni 20 na hana business idea

    Hellow... Kuna fursa katika biashara ya kukopesha watu. Kama una mtaji wa milioni 20 na upo interested na hii biashara njo inbox tuyajenge zaidi. Wateja wapo wa uhakika waliochunjwa kabisa hawana longolongo za marejesho. Kama unaogopa risks za business tulia Tuli. Kama una tamaa ya kutajirika...
Back
Top Bottom