bustani

The Boustani family is a prominent dynastic Lebanese family with significant influence around the globe. Variations of the name, due to transliteration, include: Boustani as well as Boustany, Bistany, Bostany, Bustani, Besteni, and Bestene (Arabic: بستاني‎ / ALA-LC: Bustānī). The name, a nisba, derives from the Arabic word for garden (a loanword from Middle Persian “bōyestān”) and is thought to date back to at least the 15th Century.
The family has its roots in a place named El-Bassatin, in the village of Jableh, near Lattakia, Syria. In the beginning of the 16th century, and after the Ottoman conquest of the Middle East, Muqim (Abu Mahfouz) left his home town and went towards Mount-Lebanon, stopping at Dahr Safra, then Bqerqacha, a village at the foot of the Cedars of Lebanon. Muqim had three sons, Mahfouz, Abd el Aziz and Nader. Abd el Aziz resided in Deir el Kamar. Nader and his family settled in the Chouf region, principally Deir el Kamar and Debbiyé.
Muqim and his eldest son Mahfouz went back to the northern regions of the country. His descendants still bear the name Mahfouz.
Following social and political upheavals, the Boustanis settled in every single region of Lebanon – in Giyeh, Marj, Jounieh, Tripoli, in the Koura and the Beqaa – as well as in Syria (Damascus and Aleppo) Turkey and Egypt. Throughout the two last centuries, and especially in the beginning of the 20th, the great migration of the Boustanis towards Europe and the New World began.
During the two last centuries, members of the family emigrated from different Lebanese cities to numerous countries around the world. However, the Boustanis who presently live in Lebanon, as well as those of the Diaspora, constitute one sole family.
The Boustanis were a family of many talents, to which were born eminent archbishops, great statesmen, businessmen, writers and poets in Lebanon and in the Diaspora countries. Among the bishops were: Abdallah (1780–1866), Boutros (1819–1899) and Augustin (1875–1957).

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Taa kubwa zenye rangi mbalimbali zawashwa kwenye Bustani ya Datang Furong mjini Xi’an China

    Taa kubwa zenye rangi mbalimbali zawashwa kwenye Bustani ya Datang Furong mjini Xi’an China, ili kusherehekea Sikukuu ya Spring
  2. Biashara ya kukodisha ukumbi kwa shughuli mbalimbali

    Ndugu wadau nimeleta uzi huu ili mimi na wale wote wanao ifahamu vizuri hii fursa. Maana kila kukicha kuna sherehe kuanzia birthday mpaka harusi na mikutano.Nina maswali kadhaa; 1. Ukubwa(sq metres) za ukumbi unao beba watu 100. 2. Parking itakayo takiwa kuachwa kwa angalau ukumbi au garden...
  3. Kama Adamu na Hawa wasingepelekwa Bustani ya Edeni kusingekuwa na KIFO

    KAMA ADAMU NA HAWA WASINGEPELEKWA BUSTANI YA EDENI KUSINGEKUWA NA KIFO; Anaandika, Robert Heriel Mwanafalsafa Tunasoma, Mungu alipomaliza kumuumba Mtu(Adamu) Kwa mfano wake akamchukua huyo mtu akiwa tayari Nafsi hai, akampeleka mpaka ilipo Bustani ya Edeni, Bustani ambayo Mungu mwenyewe...
  4. L

    Samaki wanaolishwa kwa chupa waonekana katika bustani ya wanyama mjini Zhengzhou China

    Septemba 12, Zhengzhou, samaki wanaolishwa kwa chupa wameonekana katika bustani ya wanyama mjini Zhengzhou China. Wafanyakazi waliweka chakula cha samaki kwenye "chupa za kuwalisha" kwa fimbo ndefu. Watalii wanapoweka chupa ndani ya maji, samaki wengi wanagombea chakula.
  5. Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwe Msamaha Kuitwa Shetani au?

    Wanabodi Declaration of Interest Mimi ni Mkristu Mkatoliki, ila mara moja moja huwa nahudhuria mafundisho katika madhehebu mbalimbali, ikiwemo Lutheran, Anglican, Makanisa ya Wokovu, na kwa wachungaji mbalimbali akiwemo Nabii Mwingira, Askofu Kakobe, Mzee wa Upako, Mwamposa, Assemblies of God...
  6. S

    SoC02 Bustani ya Botanic na Zoolojia, chachu ya ufaulu kwa masomo ya sayansi

    BUSTANI YA BOTANIC NA ZOOLOJIA, CHACHU YA UFAULU KWA MASOMO YA SAYANSI Kuhusu Bustani ya Botanic. Katika miaka ya hivi karibuni, watafiti na watunga sera kote ulimwenguni wamezidi kutoa wito wa umakini zaidi kuwekwa juu ya elimu kupitia kujifunza kwa...
  7. C

    Ifahamu Bustani yenye Mimea ya Sumu iliyopo Uingereza

    Bustani ya sumu iliyopo Alnwick huko Northumberland, Uingereza, ina zaidi ya mimea 100 yenye sumu, ya kulewesha na ya mihadarati. Na imeruhusiwa kutumiwa na umma yaani watu wote wanaruhusiwa kutembelea maeneo hayo ya bustani kwa kuzingatia taratibu na sheria za eneo hilo. Ishara kwenye lango la...
  8. L

    Utalii kwenye bustani ya wanyamapori Beijing wapamba moto wakati likizo ya majira ya joto inaanza

    Wakati likizo ya majira ya joto inakuja, wazazi wengi pamoja na watoto wao wanatembelea bustani ya Wanyamapori ya Beijing, China. Kuanzia tarehe 15 Julai, wanafunzi wapatao milioni moja wa shule za msingi na sekondari mjini Beijing wameanza mapumziko yao ya majira ya joto.
  9. Je, bustani ya Eden haipo Tanzania?

    Baada ya kusoma kwangu somo la historia ninashawishika kuamini kuwa bustani ya Eden ipo mkoani Arusha eneo la Olduvai gorge ambapo paligunduliwa fuvu la mtu wa kale duniani. Sote tutakumbuka juu ya uvumbuzi uliofanywa na Dkt. Leakey na mkewe Mary Leakey wote hawa ni wazungu na uvumbuzi wao...
  10. Kwanini Eva hakushtuka alipoanza kusemeshwa na nyoka pale bustani ya Eden?

    Ni kwamba kipindi hicho wanyama walikuwa wanaongea au? Kama sivyo, kwanini huyo bibi yetu hakushtuka na kukimbia kwa Adamu kuomba msaada?
  11. L

    Bustani ya Olimpiki ya Beijing yaweka vifaa 186 visivyo na vizuizi kwa walemavu

    Tarehe 1 Machi mwaka 2022, walemavu 50 walitembelea Bustani ya Olimpiki ya Beijing. Bustani hiyo imeweka vifaa 186 visivyo na vizuizi kwa walemavu kwenye maeneo yote ya umma, ili kuboresha huduma kwa watu hao maalumu.
  12. L

    Bustani ya Shougang ya Beijing yafunguliwa tena kwa umma baada ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi

    Bustani ya Shougang ya Beijing ilifuatiliwa na dunia nzima wakati Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Beijing 2022 ambapo wanamichezo wa China Gu Ailing na Su Yiming walipata medali za dhahabu.、
  13. L

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye bustani ya Wanyama ya Beijing

    Mapacha wa kike wa Panda wanaoitwa Meng Bao na Meng Yu wacheza kwenye theluji kwenye Bustani ya Wanyama ya Beijing.
  14. Nahitaji mshirika katika ufugaji kuku wa kienyeji na bustani

    Msimu wa sikukuu uwe mwema kwenu! Tangu mwaka jana niko kijijini kutafiti namna gani ufugaji na vifanananavyo vinaweza kuniongezea kipato,kwa ufupi kila nilichojaribu kimeonesha kina uashiria wa tija hapo mbeleni. Mfano: ■ Nilinunua tetea wanne na jogoo mmoja,wamenizalishia zaidi ya kuku 60...
  15. Ijue bustani ya asili yenye mimea lishe / tiba adhimu.

    Najua mpo mnaopenda kuenzi mambo ya asili, basi pitia hiyo atacchment naamini kuna kitu utajifunza. Kwa ufupi Posh Garden ni sehemu ambapo tunajishughulisha na uoto wa asili na kufanyia kazi tafiti mbalimbali.
  16. Bustani ya Eden ipo Afrika Mashariki?

    Binadamu wa kwanza aliishi yapata miaka milioni tatu iliyopita, fuvu lake liligunduliwa huko oldvai George na mwana akiolojia Dr Leakey akiwa na mke wake Mary Leakey. Mwanzo Adam na Eva waliishi ktk bustani ya Eden, baada ya kula tunda wakafukuzwa wakaambiwa waishi nje ya bustani ya Eden...
  17. Nyumba zaidi ya 30 za Kitanzania ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako

    Zifuatazo ni Aina Kadhaa za Nyumba za kuishi Familia ambazo waweza chagua kujenga kulingana na bajeti yako. Zipo ktk uwanja mpana wa STAILI, KIASI CHA KIWANJA, KIASI CHA VIFAA... Kutazama Ramani Zake za Ndani +255-657-685-268 WhatsApp 1 ==> vyumba 3, tofali 1700, bati 50 2 ==> vyumba 3...
  18. Mke wa Rais wa Marekani ameweka ujumbe wa Valentine kwenye bustani za White House

    Jill Biden ameweka alama za moyo na katika kila moyo ameandika ujumbe Healing, Courage, Love, Compassion, Gratitude, Peace, Amor, Strength, Kindness, Family, Unity. Love Jill
  19. Bustani zote kuwekwa Wi-Fi ili vijana wetu watumie kwenye shughuli zao za kielimu na ajira pia

    Hii safi sana, vijana wetu waendelee kufundishwa systems developments ikiwemo apps na games development na mengine mengi, wawe wanakaa kwenye hizi bustani mchana kutwa wakifanya kazi zao.... Pia itarahisisha kwa tuliobobea kwenye tasnia ili kuwasaidia vijana, unatenga masaa mawili kila siku na...
  20. B

    Waliomweka Mwafrika katika bustani ya wanyama hatimaye waomba radhi (Ota Benga)

    Katika kuficha ukweli kuhusu aliyofanyiwa, jumuiya hiyo kwa muda wa karne nzima imekuwa ikidai eti alikuwa mfanyakazi wa bustani hiyo na wakati mwingine kujichanganya katika maelezo yake. Mwaka 1916, kufuatia kifo cha Ota Benga, habari iliyoandikwa na gazeti la New York Times ilitupilia mbali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…