Habari wakuu,
Bila kuwapotezea muda kwa maneno mengi, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa.
Naomba kupata ufafanuzi kwa anayejua namna ama hatua mpaka kupata kibali cha kufungua butcher ya vitoweo kama nyama na samaki, aidha kwa utaratibu wa vibali ama na mlolongo mzima kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.