Habari wakuu,
Bila kuwapotezea muda kwa maneno mengi, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada tajwa.
Naomba kupata ufafanuzi kwa anayejua namna ama hatua mpaka kupata kibali cha kufungua butcher ya vitoweo kama nyama na samaki, aidha kwa utaratibu wa vibali ama na mlolongo mzima kwa ujumla.