Nahitaji kijana alietoka chuo mwenye uelewa mpana kwenye kilimo Cha nyanya, kitunguu, mahindi, maharage na alizeti pia mwenye kujua na kutunza vizuri nguruwe, mbuzi na ng'ombe
-Awe anajituma
-Mwenye kufanya kazi Bila kutumwa
-Awe mbunifu na kujiongeza
Tabia njema na uaminifu
-Awe ametoka na...
Habari,
Nipo Dar, nina shamba hekari 30 lipo Morogoro… Nahitaji Bwana shamba awe ananipa muongozo na elimu juu ya kilimo ili niweze kuwekeza.
Ahsanten..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.