cabinet

  1. P

    Azimio la Arusha: Ni muhimu sana rais na cabinet yake yote waisome na kuielewa

    Hivi viongozi wetu wamesoma hii document ya Azimio la Arusha? Pesa tunaitaka, lakini tusifikiri yenyewe ndiyo italeta maendeleo ya nchi. Mikopo inaturudisha nyuma inafanya tuishi maisha magumu sana. Kodi zipo juu ili tu tuweze kulipa mikopo. 😭😭😭
  2. Kinyungu

    Siku kama ya Leo 10 Disemba 1963 nchi ya Zanzibar Ilipata Uhuru wake

    Leo ni kumbukizi ya siku ya Uhuru wa nchi ya Zanzibar. Mnamo tarehe 10 Disemba 1963 nchi hiyo ya Zanzibar ilipata uhuru wake toka kwa wakoloni wa Uingereza ambao walikuwa wameitawala nchi hiyo kwa takriban miaka 73 (tokea 1890). Mohamed Shamte alikuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar huru akiongoza...
  3. winnerian

    President and the cabinet read this please. Do not ignore you have children who you would like not to be SLAVES

    The Call for Leadership That Sparks Wealth and Prosperity in Tanzania: A Nation on the Brink Tanzania stands at a crucial juncture. We are a land rich in resources and blessed with a peaceful, humble, and hardworking people. Yet, despite our potential, we are a country shackled by a leadership...
  4. Mshana Jr

    ‘Kitchen Cabinet’ na anguko la himaya 2025

    Himaya huinuliwa na watu na himaya huangushwa na kupitia.. Ni kwa kupitia maono, mahitaji ya nyakati na kikomo cha muda.. Utawala husimama ama huanguka Watu kama viumbehai vyenye utashi ni mtaji mkubwa sana kwenye himaya yoyote ile.. Watu hao hugawanyika katika makundi kadhaa Wabeba...
  5. J

    Fahamu majukumu ya Kitchen Cabinet na jinsi inavyomsaidia Rais wa nchi katika shughuli zake

    Kitchen cabinet au "Baraza la jikoni" la rais ni kundi dogo lisilo rasmi la washauri wanaoaminika ambao hutoa ushauri na mwongozo kuhusu masuala mbalimbali, mara nyingi nje ya mifumo rasmi ya serikali. Watu hawa mara nyingi ni marafiki wa karibu, wafuasi waaminifu, au watu waliokaribu na rais...
  6. JanguKamaJangu

    President William Ruto Names Second Batch of The Cabinet

    Ruto Names Second Batch of The Cabinet President William Ruto: The government will provide all necessary support for those affected by protests. ✅President Ruto: Police officers, their prison counterparts and other security agencies officers will start receiving salary increments this month...
  7. BARD AI

    Tetesi: President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle

    President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle which will result in the abolition of about seven ministries. A front-page publication by a local media house citing State House sources suggests that the current 22 ministries will be reduced to 15 in the...
  8. GENTAMYCINE

    Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

    Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo (wengine kupitia Baba zao) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo. Na...
  9. BARD AI

    President Barrow Reshuffles His Cabinet

    Gambian leader, President Adama Barrow, has on Friday reshuffled his cabinet. See below a press release issued by the office of the Gambia Government Spokesperson, Ebrima G Sankareh: Effective immediately and consistent with the powers vested in him by the Constitution of the Republic of The...
  10. Poppy Hatonn

    Kuchelewa kutangazwa Cabinet inaonyesha udhaifu wa Rais

    Kwa sababu unapokuwa na viongozi ambao hawajui hatima yao, ina maana hawawezi kufanya kazi, hawawezi kufanya planning two weeks ahead, wanakuwa katika hali ya hatihati. Kwahiyo, in effect, cabinet isipotangazwa, you are bringing the country to a standstill. Inaonyesha indecision on the part of...
  11. BARD AI

    FULL LIST: Rais Ruto amefanya uteuzi wa Baraza la Mawaziri, IGP na DCI wajiuzulu

    Leo Sept. 27, 2022 Rais William Ruto amefanya kikao cha kwanza na Baraza la Mawaziri wa Serikali iliyopita na kisha kufanya uteuzi wa Baraza lake jipya linalojumuisha Mawaziri 21 ambao watasimamia Wizara mbalimbali. Ruto amemteua aliyekuwa Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi kuwa...
Back
Top Bottom