Sasa imekuwa kama mchezo wa mazoea, yaani kabla ya 30th March CAG kwenda kumsomea Rais ripoti yake ya ukaguzi kisha kuikabidhi Bungeni na mchezo unaishia hapo.
Mwaka unaofuata hakuna taarifa ya utekelezaji wa ripoti ya nyuma bali watu wanakaa kusikiliza ripoti nyingine.
Ripoti iliyopita ilijaa...
Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya ACT-Wazalendo UDSM ambapo wamearifu uchambuzi huo utaanza saa sita kamili mchana wa leo.
===============
ZITTO AMSHAURI RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA MAJAJI KUCHUNGUZA KESI ZILIZOLIPWA KWA DPP
Kuanzia mwaka 2017 kumekuwa na kawaida ya watu wanaokamatwa na...