Habari wadau
Kuna familia imepata msiba wa mama yao. Mama huyo amefariki kwa mateso makali ya kuugua kwa zaidi ya miaka 10. Mama huyo alikuwa na cancer na Stroke pia.
Familia imeuza mali zao karibu zote katika harakati za kumtibia mama yao na mateso ya kisaikolojia ya kuuguza wamepitia sana...
Enh, hawa wote wamekufankwa hiyo issue
Paul Allen
Sheldon Adelson
Zhao Ning
Dietrich Mateschitz
Steve Jobs
David Koch
Kirk Kerkorian
Jon Huntsman Sr.
Richard Pratt
James Simons
Audrey Hepburn
Patrick Swayze
David Bowie
Alan Rickman
Farrah Fawcett
Steve McQueen
Bob Marley
Luciano Pavarotti...
Wakuu Habari
Nilikuwa huko Twitter (X) na katika kupita pita kwangu nikakutana na hii habari ya Iran kuungana rasmi na umoja wa mataifa yaliyopo katika muungano wa Brics , kubwa zaidi lilo nivutia sio Iran Tu kuwa mwanachama wa Brics kumbe kuna mataifa kibao ambayo na yenyewe yapo katika...
Wengi wetu wahenga tunaijua hii couple
Raqey ni mtu mwenye historia ya kusisimua katika kujitafuta kwake mpaka kujipata (zero to hero)
Sarah pia ni mwanamke mrembo na mpambanaji sana, kajipata kwenye biashara ya chakula
Kwa pamoja historia yao ya mapenzi mpaka ndoa ilikua ni nzuri sana...
His thumb doomed him, Bob Marley tried to defeat cancer his own way and treated it as if it was a cold.
Marley's final stage started in 1977, he went to the doctor for an injury on his toe and was told he had stage 3 cancer and then he made his first mistake.
He was offered to have his toe...
Nimeona ujumbe wa WhatsApp unaotaka watu watume majina ya Wagonjwa wa Saratani ya Matiti kabla ya Machi 7 ili watibiwe bure.
Nina ndugu yangu ni mgonjwa. Naomba kufahamu kama tangazo hili lina ukweli ili nisitapeliwe bure.
Kuna jamaa yangu anaumwa kansa ya ini, tumekwenda hospital za ndani tulichoambiwa ni kansa ya ini haina matibabu anachoweza fanyiwa chemotherapy, dawa za kumpunguzia maumivu huku akisubiri kifo chake, baada ya hap tumeambiwa tiba ni india na marekani, saali ni je kansa ya ini ina matibabu huoo...
Cancer, Dies When You Eat These 7 Foods, Time To Start Eating Them
thepinkbrain.co.zaJul 31, 2023 5:50 PM
Here is a list of 7 amazing foods which prevent the growth of cancer cells and the development of various types of tumors. This list contains foods which many people love like: tomatoes...
Leo Februari 15 ni Siku ya Kimataifa ya Saratani kwa Watoto
Inakadiriwa Watoto na Vijana wa hadi miaka 19 wapatao 400,000 hugundulika na Saratani kila mwaka.
Ugonjwa huo ni sababu kuu ya Vifo licha ya Saratani nyingi za Watoto kutibika.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), baadhi...
Hello,
Siwatishi na wala siwabembelezi nawajibika kusema kuokoa taifa na jamii kwa ujumla.
Ongezeko la watu wenye rangi za midomo kama ugonjwa wa ukoma wa midomo unapaa kwa kasi.
Kuna wimbi kubwa sana la watu wadada, wakaka, mabinti, vijana, wenye fungus za koromeo, fungus za midomo, homa za...
Unaweza ukawa unakula ugali na mboga za majani na ukajiona unakula chakula chenye afya kumbe uhalisia ni kwamba unajiongezea sumu zaidi mwilini.
Sehemu kubwa ya mboga za Darisalama zinatoka mabonde ya Mto Msimbazi, Mandela road bonde lililoko kituo cha garage, Jangwani, Kigogo sambusa na maeneo...
Nilishutushwa niliposikia hospital kubwa ya cancer Marekani MD Anderson ambayo ipo Houston Texas inafanya uchunguzi ni kwanini kuna mpasuko mkubwa wa cancer hasa za Tumbo kanda ya ziwa hasa mkoa wa Mara na majirani.
Cha kushangaza ni miaka zaidi ya mitano na sijaona jitihada zozote za serikali...
Wakuu hili swali nauliza kwa wema kabisa.
Kuna kiwango kukubwa cha wagonjwa wa Cancer kwa upande wa kando kando ya Ziwa Victoria kuliko maeneo mengine nchini.
Mtakumbuka hata Mama Samia alieleza nia ya Serikali kujenga kituo kikubwa Mwanza chenye kutoa matibabu ya Cancer
Sasa najiuliza:
1...
Inaaminika kuwa bangi inaweza kutibu aina mbalimbali za saratani mwilini, na baadhi ya watu huitumia wakiwa na imani hiyo.
Tunataka kufahamu ukweli wa jambo hili, pamoja na uthibitisho wake kisayansi.
Ndugu wapendwa nawasalim!!!!!
Tumepata tatizo kwenye familia kaka yetu amegundulika na ugonjwa wa cancer, amekuwa ana patwa na maumivu makali na kukata tamaa ya kuishi. Jana nimeona kwenye vyombo vya habari AZAM TV na magazetini wameripoti kuna dawa imegunduliwa huko Marekani ambayo imetibu...
POST HEALTH LABORATORY SCIENTIST II – 3 POST
EMPLOYER Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-08 2022-06-21
JOB SUMMARY ok
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To carrying out laboratory tests and examinations as well as laboratory research.
ii. To inspecting and storing...
POST MEDICAL OFFICER II – 5 POST
EMPLOYER Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-08 2022-06-21
JOB SUMMARY OK
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To perform routine medical services for in-patients and out-patients.
ii. To perform daily ward rounds, participate in major...
POST ENGINEER II (BIOMEDICAL ENGINEER) – 1 POST
EMPLOYER Ocean Road Cancer Institute (ORCI)
APPLICATION TIMELINE: 2022-06-08 2022-06-21
JOB SUMMARY OK
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
(i) To establish and implementing preventive maintenance plans for the Institute’s facilities.
(ii) To ensure the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.