Huo ndo ukweli wakuu au mnasemaje?
Ukiondoa mambo ya itikadi ya vyama huyu mwanamume alikuwa anaimba aisee acha kabisa.
Skiza kitu hiki hapa
Sasa kumekucha
👇👇
https://youtu.be/MAP-WTEdm4g?si=6iTQeI7gRat83lYd
Wimbo wa NI WAJIBU KUMShuKURU BABA NYERERE WA HAYATI Capt. JOHN KOMBA, HAUCHUJAGI
Tukielekea katika kuadhimisha kumbukizi ya maisha, kazi na kifo cha hayati Baba wa Taifa Oct 14ijayo,
Hebu pata muda kidogo sikiliza wimbo huu muhimu sana usiochuja, ulio jaa vionjo vyenye hisia kali, tafakari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.