Kinachopigiwa kelele si mkataba maana kuna mikataba ya utekelezaji bado inakuja, kinachowaumiza kiundani ni mnyororo wa thamani pale bandarini vingi watapoteza watu wana makampuni yana secret tenda na TICTS.
Ipo kampuni zimekodisha Trekta, ipo kampuni imekodisha forklift hizi kampuni zilikuwepo...