cash money

  1. Mystery

    Nimestushwa sana kusikia mtangazaji Wasafi Media, anayeitwa Adela, akijimwambafai kuwa amewahi kuhongwa milioni 60 na mpenzi wake!

    Nafuatitilia kipindi Cha Wasafi Media, kinachorudhwa LIVE muda huu, ambacho kimepewa jina la HAUJUI, nikishuhudia mtangazaji wa Wasafi Media, Oscar Oscar, akimuuliza mtangazaji mwenzake anayeitwa Adela, akimuuliza awe mkweli na amwambie katika maisha yake , anakumbuka ni kiasi Gani alichowahi...
  2. Subira the princess

    Ndege unanunua cash money, watumishi wa umma na wakulima unawakopa

    Wasalaam. Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema. Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya...
  3. T

    Kwanini kila kitu Tanzania lazima ununue kwa pesa tasilimu?

    Kwanini kila kitu huku kwetu Tanzania lazima mtu anunue kwa pesa tasilimu(cash money)? Tanzania ukitaka simu lazima uwe na cash, ukitaka gari lazima uwe na cash, ukitaka samani za ndani lazima uwe na cash money, yaani kila kitu ni cash. Vitu kama simu mitandao ya simu hua na offa ya mtu...
  4. mart66

    Halland pure talented striker

    Ukizungumzia mastriker wenye umri mdogo ulaya na dunian kwa ujumla huwezi acha kumataja huyu dogo anaecheka na nyavu kila siku dogo hallanda Kwa watu wa man untd miyoni mwao watakua wanajilaumu kutokana na kumkosa huyu bwana mdogo Tangu ajiunge na Dortmund huyu dogo adi sasa kacheza mechi sita...
Back
Top Bottom