Yanga SC leo ipo uwanjani huko Nchini Ethopia kuchezo mchezo wa klabu Bingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya huko huko Ethopia. Mchezo huu utapigwa mishale ya saa 15:00 Alasiri
Kikosi ambacho natarajia kukiona kikianza leo ni kama ifuatavyo
-Dirra
-Yao
-Bakari Nondo
-Job
-Bacca
-Aucho
-Pacome
-Aziz...
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Cbe SA 🆚 Yanga SC
📆 14.09.2024
🏟 Abebe Bikila Stadium
🕖 15:00 Alasiri
Kikosi kinachoanza dhidi ya CBE SA FC
mpira umeanza
dakika ya 2
dube anakosa nafasi ya wazi
dakika ya 15
pacome anafanya mashambulizi
dakika ya 25
0-0
dakika ya 29
cbe wanakosa nafasi ya wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.