cc. paschal mayalla

  1. F

    SoC04 The Tanzania we want

    THE TANZANIA WE WANT Tanzania as a country is blessed with lots of potentials that needs to be utilized in such a sense that they can enable the country to have an outstanding economy.The educational systems of Tanzania are too local which eventually makes it to use curriculums that are not...
  2. Kingsharon92

    Enyi madereva wa masafa marefu acheni roho mbaya dhidi ya wasaidizi wenu matingo

    Natumai wote ni wazima wazee kwa vijana poleni na mvua za masika zinazoharibu miundombinu yetu. Moja kwa moja nianze kwa kusema kama dereva wa masafa marefu niliyetundika daruga 2010. Uliza Congo uliza Malawi Zambia Uganda kenya Burundi rwanda hapo nikiwa na chuma cha msweden scania 113 pulling...
  3. B

    Uendeshaji wa boda boda na baiskeli kwa muda mrefu unapunguza nguvu za kiume; waendesha boda boda kuweni makini

    UENDESHAJI WA BODA BODA NA BAISKELI KWA MUDA MREFU UNAPUNGUZA NGUVU ZA KIUME; WAENDESHA BODA BODA KUWENI MAKINI. Leo naenda kwenye mada moja kwa moja, maana hili ni suala nyeti sana. Kwa sababu wengi huwa tunataka ushahidi, naomba kila mmoja atakayepita kwenye huu uzi, akafanye utafiti wake...
  4. CM 1774858

    Shaka : Rais Samia ni kama Nyerere kwa mwaka mmoja huu ametumia TZS 79bl kujenga vyuo vya VETA kwenye halmashauri 29 na mikoa 4

    SHAKA HAMDU SHAKA AMUUMA SIKIO RAIS SAMIA,AMWAMBIA "MAMA KANYAGA TWENDE,CHAMA KINARIDHISHWA, WANANCHI WANAKUELEWA" KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amemtia shime Rais Samia Suluhu Hassan azidi kukanyaga na kupiga hatua za maendeleo kwa kuwa...
  5. Matojo Cosatta

    Late Reginald Mengi's probate case: Historic and monumental judgement by his lordship Mlyambina

    THE LEGAL BATTLE TO INHERIT THE ESTATE OF THE BUSINESS TYCOON LATE REGINALD MENGI: HISTORIC AND MONUMENTAL JUDGEMENT BY HIS LORDSHIP MLYAMBINA. "The dead commands nothing from his grave except what the living allow him to do." PART 1: BRIEF GENERAL OVERVIEW. Just Yesterday, even before the...
  6. Matojo Cosatta

    Mgawanyo wa Wabunge wanawake wa Viti Maalum katika jicho la Sheria

    MGAWANYO WA WABUNGE WANAWAKE WA VITI MAALUM KATIKA JICHO LA SHERIA. Kabla ya Chama cha Siasa kupewa mgao wake wa wabunge wanawake wa Viti Maalum lazima kitimize masharti yafuatayo; (1) Lazima chama cha siasa kiwe kimeshiriki katika uchaguzi mkuu. (2) Lazima chama cha siasa kiwe kimepata walau...
  7. Matojo Cosatta

    Alama inayokubalika wakati wa kupiga kura na kuhesabu kura

    ALAMA INAYOKUBALIKA WAKATI WA KUPIGA KURA NA KUHESABU KURA. Kwa mujibu wa Aya ya 3.4 ya Maelekezo kwa Wasimamizi wa Vituo vya Kupiga Kura, 2020, alama zinazokubalika katika kupiga kura ni hizi ambazo zimeelezwa hapa kama ifutavyo; (1) Alama inayokubalika katika chumba kilichopo wazi kwenye...
  8. Matojo Cosatta

    Uchaguzi 2020 Utata wa muungano wa kisiasa (coalition) wa CHADEMA na ACT-Wazalendo katika macho ya Sheria

    UTATA WA MUUNGANO WA KISIASA (COALITION) WA CHADEMA NA ACT-WAZALENDO KATIKA MACHO YA SHERIA Mwaka 2019 bunge liliifanyia mabadiliko Sheria ya Vyama vya Siasa, Sura ya 258 kupitia Sheria Na. 1 ya 2019 ( the Political Parties (Amendment) Act, 2019) ambapo Kifungu cha 11 A kiliongezwa kwenye...
  9. Tr Paul

    Enzi za RTD na TVT unakumbuka nini na ulikuwa wapi?

    Wanabodi habari zenu ,unakumbuka nini ,ulikuwa unajisikiaje ,ulikuwa wapi tulipokuwa na chombo kimoja cha kupasha habari Tanzania ,Radio na TV ambayo ilikuwa RADIO TANZANIA DAR ES SALAAM (RTD) na kwa upande wa TV iliitwa Television ya Taifa (TVT). Mfumo huu haukutoa fusa kabisa ya kuwa na...
  10. Matojo Cosatta

    Mgombea binafsi registered legal victory in South Africa

    MGOMBEA BINAFSI REGISTERED LEGAL VICTORY IN SOUTH AFRICA. The right of mgombea binafsi to participate in parliamentary elections and provincial elections registered victory in the Republic of South Africa last month on 11th June, 2020, this is about 10 years after mgombea binafsi right met its...
  11. wasumu

    Kwako Pascal Mayala natanguliza msamaha

    Kiuhalisia nimetenda mambo ya kuidanganya nafsi kwa kumfikiria mambo vibaya huyu ndugu mfano nilijua ni kilaza. Kumbe nikajidanganya kumbe kuna watu wamechaguliwa na MUNGU ukimsema vibaya yeye hapati madhara wananzengo tuwe makini na watu kama hawa AM SORRY MAYALA
  12. CalvinKimaro

    Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano!

    Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano! Mwisho Ado akaongeza "takataka" binafsi za kudai tume huru na katiba mpya! Yaani kichekesho! Kumbe walisusa huku kiroho kinauma? Walidanganyana wataitwa? Kiongozi...
  13. CalvinKimaro

    Viroja vya CHADEMA havina ukomo

    Awali ya yote niwape pole wale wote watakaofuata agizo la kutoshiriki uchaguzi kwa kutopiga kura. Watakuwa kwa hiyari yao wenyewe wamejinyima haki yao. Hakuna mwingine atakayeumia isipokuwa wao wenyewe na chama chao. Nadhani CHADEMA wanadhani kwa kususa mpango wao wa kuonyesha kuwa TANZANIA...
  14. M

    Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

    SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam. Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi. Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana...
  15. N

    Hivi redio hizi za Kimataifa BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini?

    Wadau naomba kuuliza hivi redio za Kimataifa kama vile BBC, DW, VOA na RFI zinanufaika na nini kwakurusha matangazo hasa kwa hizi nchi za Maziwa makuu, (Kiswahili) kwani hazirushi matangazo ya biashara kama zilivyo redio zetu. Mfano BBC imefungua Studio kubwa naya kisasa nchini Kenya,
Back
Top Bottom