ccm kuvunja sheria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kichongeochuma

    Viongozi wa CCM fundishaneni kufuata sheria, msijione kuwa CCM basi mpo juu ya kila kitu nchi hii

    Niwaombe sana viongozi na makada wa CCM ngazi za wilaya na kata, msijifichie kwenye mwamvuli wa kufuatilia utekelezaji wa ilani ya chama kwa kunyanyasa wengine. Jueni mipaka yenu makada wenzangu, nimestaajabu leo mahali fulani mwenyekiti wa CCM wilaya eti nae anatoa amri ya kumsimamisha kazi...
Back
Top Bottom