Chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Mbarali kupitia Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania UWT, imefanya maadhimisho ya miaka 48 ya chama Cha mapinduzi kwa kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serikali wilayani humo, ikiwemo miradi ya maji, Afya na Umwagiliaji.
Katika...