Description
Job Overview:
The Sales Officer will be responsible for driving business growth within their location by identifying sales opportunities, building and maintaining customer relationships, and ensuring consistent achievement of sales targets.
Key Responsibilities:
1. Identify new...
Mfanyabiashara wa Kitanzania, Edhah Abdallah, kupitia kampuni yake Amsons Industries (K) Ltd, amefanikisha ununuzi wa asilimia 96.4 ya hisa milioni 362.96 za Bamburi Cement, kwa jumla ya KSh 23.2 bilioni (TZS bilioni 424.31).
Hatua hii inafanya Amsons kuwa mmiliki mkuu wa kampuni hiyo ya...
Mfanyabiashara mashuhuri wa Kitanzania, Edhah Abdallah, kupitia kampuni yake Amsons Industries (K) Ltd, amefanikisha ununuzi wa asilimia 96.4 ya hisa milioni 362.96 za Bamburi Cement, kwa jumla ya KSh 23.2 bilioni (TZS bilioni 424.31).
Hatua hii inafanya Amsons kuwa mmiliki mkuu wa kampuni...
Nimetumia materia zote tajwa hapo juu ,linapokuja swala la ukuta kuvamiwa na fungus naona kama chokaa Ina afadhali , ila suala la ukuta kupendeza chokaa inashika nafasi ya mwisho unless upate fundi kweli , wewe umeonaje
Leo viwanda vimetangaza upandaji wa bei ya cement, sasa itauzwa kwa kati ya 18,000 hadi 18,500 kwa dar. Najiuliza viwanda tunavyo hapahapa tatizo lipo wapi? Wataalam mtusaidie..
Ndugu zangu, habarini.
Naomba ushauri, nataka kujenga. Nimepigiwa mahesabu kwamba paka nyumba kuisha ninatakiwa mifuko 300 ya cement.
Sasa, nafikiria kununua toka kiwandani kwa jumla ili kupata bei ya jumla.
Swali langu ni kwamba, je nitaruhusiwa kununua toka kiwandani moja kwa moja au lazima...
Salaam Wana jukwaa la Ujenzi,wakiwemo wahandisi Ujenzi na Mafundi wote.Nahitaji kujua standard ratio ya Kuweka Sakafu ya Cement ikoje
.Nina Eneo lishawekwa Jamvi la Ukubwa wa SQM 145.Fundi ameniambia Mifuko 10 inatosha.Nimeingiwa na wasiwasi kama yupo sahihi.Nimeamua Kutumia option ya Sakafu hii...
Aisee ingependeza sana sana kama material mojawapo ingepunguzwa bei mno yaani hata kama ni Serikali kutia hela sekta binafsi kimojawapo kipunguzwe hata zaidi na zaidi. MIFUMO yote fasta inge change biashara zingeanzishwa na shughuli za uchumi. Vitu vyote ni muhimu katika ujenzi ila sasa bei sio...
Position: Chemist (WTP)
Department: Power Plant
Reports To: WTP In charge
Education Degree: Bachelor of Science in Chemistry
Experience: Fresher/ 1 years of experience
Essential Skills Required
Knowledge based in chemicals especially Chemistry.
Excellent computational knowledge...
Position: Mechanical Supervisor
Requirements
8 years in mechanical repair and maintenance, with 1+ year in supervision.
Proficient in SAP,MS Office, and computer skills.
Must have Experience in maintenance supervision in the cement or equivalent industry.
Strong troubleshooting skills...
Habarini wadau. Nauza cement grade 42.5 kampuni ya Camel kwa bei ya 15,000 kwa mfuko. Eneo ni Tabata Saanene. Bei ni nafuu kwa kuwa ninafunga biashara.
Imebaki mifuko 200 tu. Wahini sasa. Risiti ya EFD ipo.
Kwa mawasiliano zaidi, piga namba 0687320462.
Position: DCS Engineer
Department: Power Plant
Reports To: Shift in Charger. Education
Main Objectives
Operation of power plant from panel desk through DCS
Skills and Responsibility
Able to work in rotational shift (Day & Night)
Have to work from panel desk at CCR thru DCS for operation of...
Habari zenu wadau?
Nilikuwa kwenye process za ujenzi ila kwa bahati mbaya huu mwaka sijauanza vizuri na kiukweli sioni dalili za kuendelea na ujenzi hivi karibuni naona nikiendelea kukaa na hizi cement kwa muda mrefu zaidi kuna uwezekano zikaganda nimeamua kuziuza ili nipunguze/niziuze hasara...
Position: Kiln Planner
Areas of Responsibility: As Assigned by the supervisor
Reports To: MCC MANAGER
Specific Knowledge: Preferably 5 years’ experience in kiln operations; experience in cement industry is an added advantage.
The Management of Tanzania Portland Cement Public Limited Company is...
Serikali imeingia makubaliano na wawekezaji wa kiwanda cha Mbeya Cement ya kuboresha na kuongeza ufanisi wa uzalishaji wa kiwanda hicho ikiwa ni Pamoja na kufutwa kwa Deni la Shilingi Billion 170 ili kukiwezesha kiwanda hicho kutengeneza Faida.
Serikali inamiliki asilimia 35 ya hisa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.