TAARIFA KWA UMMA
Imani Kajula aomba kuondoka klabuni hapo
Klabu ya Simba inapenda kuujulisha umma kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imeridhia maombi ya Afisa Mtendaji Mkuu Imani Kajula kuomba kuondoka ifikapo mwisho mwa mwezi Agosti 2024 mkataba wake utakapoisha.
Kufuatia maamuzi...