Chadema Kanda ya Nyasa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba, Inaingia Jimbo la Ileje kwa kimbunga cha Mikutano ya hadhara mfululizo yenye lengo la kukata mnyororo wa Utumwa
Ikumbukwe kwamba Ileje ni miongoni mwa Maeneo ya kimkakati ya ccm yaliyopangwa kudidimizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.