chadema itilima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    LGE2024 Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa

    Uko Wilaya ya Itilima Mkoa wa Simiyu, nimeona kupitia Global TV Online, zaidi ya Wagombea wetu wa CHADEMA rufaa zao zimegonga mwamba, hivyo wameenguliwa wasigombee nafasi yeyote uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024. Waombea takribani 240 wa nafasi mbalimbali, wameenguliwa kugombea katika uchaguzi...
  2. The Watchman

    SI KWELI Mwenyekiti na Katibu wa CHADEMA wilaya Itilima wamehamia CCM

    Wakuu Salaam nimekutana na taarifa mtandaoni ikisema kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa Mipawa, pamoja na wanachama wao zaidi ya 60, wamehamia Chama Cha Mapinduzi CCM, Uhalisia wa taarifa hii...
Back
Top Bottom