Heshima kwenu wanaJF .
Uzi huu tachukiza wengi, ambao hawajawahi naleta thread za namna hii.
Jumapili iliyopita kabla ya Jumapili ya jana, ulifanyika uchaguzi wa CHADEMA kanda ya Kusini mjini Masasi.
Ni uchaguzi ambao uligubikwa na rushwa kutoka nje ya CHADEMA.
Wapiga kura waliuuza kura zao...