Ndugu zangu siasa ni kitu kigumu Sana si kitu cha kuji husisha nacho Sana
Nakumbuka kipindi Dkt. Slaa anagombea kiti kile kikuu kwa tiketi ya chadema alionekana wazi wazi kwamba huenda akawa ndiye next Tanzania President kupitia upinzani kwa wakati ule.
Hasa ukiangalia mtiti aliokuwa...