Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Pambalu amewaomba wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni Jimbo la Nyamagana Mwanza.
Chadema wazee wa michango halafu haijulikani inakwenda wapi msimu wa mavuno umeanza chama kinapenda sana michango.
NCCR Mageuzi yaani National Convention for Reconstruction and Reform- Mageuzi ndio kilikuwa chama strong na chenye siasa za ukweli, kiliweza kuipa changamoto CCM sana.
Kilikuwa na wasomi waliobobea, akina Dkt Masumbuko Lamwai, Prof Abdulrahman Babu, Mabere Nyaucho Marando, Prince Bagenda, Dkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.