NCCR Mageuzi yaani National Convention for Reconstruction and Reform- Mageuzi ndio kilikuwa chama strong na chenye siasa za ukweli, kiliweza kuipa changamoto CCM sana.
Kilikuwa na wasomi waliobobea, akina Dkt Masumbuko Lamwai, Prof Abdulrahman Babu, Mabere Nyaucho Marando, Prince Bagenda, Dkt...