Wana Jamvi kuna mengine sio ya kuacha kabisa maana Wakati uchaguzi serikali za mitaaa ukitarajiwa kufanyika Novemba 27 Mwaka huu, leo wakati nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa Ipuli hapa, nimepata taarifa kwamba Baadhi ya Waliokuwa wanataka kugombea nafadi za uenyekiti serikali za mitaa wamekacha...