chadema ya lissu

The Party for Democracy and Progress (Swahili: Chama cha Demokrasia na Maendeleo), commonly known as Chadema, is a centre-right political party in Tanzania.
Chadema is the second-largest political party in Tanzania and campaigns on regional autonomous of self-governing states in the country.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    Pre GE2025 CHADEMA ya Lissu imepoa mno

    Nini kimeifanya hii CHADEMA ya Lissu kuwa ya baridi hivi? Hatusikii kama Kuna Chama cha upinzani Binafsi sikutaka Mbowe awe Mwenyekiti wa Chama ila Sasa nimeanza kuamini kuwa Mbowe alikuwa master wa siasa za harakati 1. CCM wameamua kuwanyima Chadema agenda Kwa Sasa utekaji umepungua na...
  2. sonofobia

    Pre GE2025 Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kaskazini: Nitawashughulikia wote wasiomkubali Lissu

    Mwenyekiti CHADEMA Kanda Kaskazini Wakili Welwel wakati akifungua kikao kazi kilichohutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa Kamanda John Heche kilichofanyika Siku ya jana Equator Hotel Arusha amesema kuna wanachadema bado wanaugulia maumivu kama vile wamefiwa. Anahoji ni maumivu gani ya...
  3. M

    CHADEMA ya Lissu imefifia kisiasa

    Wakati wa Mbowe vijana wengi walivuma, hoja zao kuipinga CCM katika mitandao ya kijamii ikiwavutia wengi sana hata wanaCCM wenyewe. Wakisimama juu ya majukwaa vijana wengi wakivutiwa. Hivi sasa CHADEMA wanaosikilikana 1. Heche 2. Lissu 3. Lema 4. Amani Kijana pekee anaesikilikana ni...
  4. M

    Nimeichukia sana CHADEMA ya Lissu

    Jinsi ya uchaguzi wa Chadema ulivyoendeshwa kwa propaganda na kumbamiza Mwenyekiti wa zamani. Hawa nimewachukia kweli kweli ktk siasa 1. Lema 2. Lissu 3. Heche Sikutegemea ktk siasa za ndani ya chama kutumia njia ile ya uzushi kwa kila aliekuwa anampinga LISUU na team yake. Naomba mwaka huu...
Back
Top Bottom