chaguzi ndogo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    CHADEMA yasema Haitashiriki kwenye Chaguzi Ndogo za Madiwani katika Kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hawatashiriki kwenye Chaguzi Ndogo za Madiwani katika kata 14 zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzii hii leo Jumatano Juni 14, 2023.
  2. M

    Kinachoendelea kwenye chaguzi ndogo za CCM ni dalili kuwa 2025 wasipoiba kura hawatoboi. Kiongozi wa sasa akigombea anaweza asishinde

    Iwepo tume huru kabisa. Wapinzani walinde kura zao na kuhesabu kwa makini. Inaonekana kuna mgawanyiko mkubwa sana ndani ya CCM. Uchaguzi unafanyika lakini wanaCCM ngazi za chini hawaitaki Ccm iliyopo madarakani.
  3. M

    Je, hizi Sarakasi ninazoziona katika Uchukuaji wa Fomu za Chaguzi ndogo (za awali) za CCM zinaashiria nini kwa 2025?

    Kuna Wagombea wanafichiwa Fomu, kuna Wagombea wanatishwa Wasigombee, kuna Wagombea wanachafuana, kuna Wagombea wanawadharau Wenzao na kuna Wagombea pia wanasema CCM ni yao hivyo Washamba Washamba wasipoteze muda Wao kutaka kuchukua Fomu na Kugombea. CCM kuweni sana Makini na yaliyopo!
  4. J

    Kwanini chaguzi ndogo hazina mvuto? Au kwa sababu Chadema wamesusa?

    Nakumbuka chaguzi ndogo kuanzia Dr Lamwai enzi zile za Manzese hadi Dr Augustino Lyatonga Mrema nyakati za akina Cisco kule Temeke. Lakini siku hizi chaguzi ndogo zimedorora sana, mfano jana. Kwanini!....... Why?..........Ndauli?!! Nawatakia Dominica yenye baraka!
Back
Top Bottom