chakula bora

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Spika bunge Lebanon aiambia Israel kuwa Kisasi kinakuwa Chakula Bora zaidi kinapotolewa au kuliwa kikiwa baridi

    NB: Paschal Mayalla naomba utupe fasiri sahihi ya sentesi hii (Revenge is a dish best served Cold) Wadau hamjamboni nyote? Kumekucha Mashariki ya kati Spika wa bunge la Lebanon na mshirika mkubwa wa Hezbollah ameichimba mkwara Israel lazima ichezee kichapo kwa tuhuma za mauaji ya Kiongozi...
  2. BARD AI

    Ripoti FAO: 64.8% ya Watu barani Afrika hawana uwepo wa kupata Chakula Bora

    RIPOTI: Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) limesema Robo Tatu ya Idadi ya Watu katika Bara la Afrika hawana uhakika wa kupata Lishe Bora Kwa mujibu wa Ripoti ya FAO, Takriban Watu 864 duniani hawana uhakika wa Kupata Chakula Bora ambapo Bara la Asia ni Milion 467, Afrika Milioni 316, Marekani...
  3. Yoda

    Kwanini waliotuletea mahindi wao hawali ugali?

    Ugali ni chakula cha kushangaza ambacho hupendwa sana na watu wengi Africa Mashariki, kati na magharibi. Tatizo la ugali ni kwamba hauna ladha, hauliki wenyewe bila chakula cha ziada. Wazungu waliotuletea mahindi Africa karne ya 17 wao hawali ugali, wachache wanaokula wameendelea kula mahindi...
  4. Shining Light

    Namna ya kuhifadhi viungo vya kuongeza ladha ya Chakula

    Kuhifadhi viungo vya chakula ni muhimu ili viweze kudumu kwa muda mrefu na kudumisha ladha na harufu yake. hizi ni njia kadhaa za kuhifadhi viungo vya chakula: 1. Hifadhi Katika Vyombo Vizuri Hifadhi viungo katika vyombo visivyopitisha hewa kama vile chupa za kioo au plastiki zenye vifuniko...
  5. Rwetembula Hassan Jumah

    Chakula bora ni Dawa

    Habari, Chakula bora ni Dawa. Ila Dawa sio chakula Bora. Tumia chakula kama dawa. Usije jikuta unatumia dawa kama chakula.
  6. Iziwari

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi. Best Price for Suck of Sunflower meal or Seeds. Mashudu ya mafuta ya alizeti ni chakula cha mifugo ambacho kina thamani kubwa sana. Chakula hiki kina weza kutumika na wanyama kama Kuku, Bata...
  7. BLACK MOVEMENT

    Ni wakulima ndio wanaogaiwa chakula cha msaada, siyo wafanyabiashara

    Chakula na Mahindi ya msaada yanagawiwa vijijini huko na sio mjini, mjini haijawahi tokea mahindi ya msaada yakagawiwa, na huko vijijini ni wakulima ndio wanalia njaa kali sana. Sasa Bashe anasemaje kuona wakulima wake ndio sasa hivi wanagaiwa mahindi ya msaada? Bashe ujue anazania wanao teseka...
  8. BigTall

    Chakula Bora kwa Uzazi wa Mwanaume

    Kula mlo wenye afya na kufanya mazoezi ya kutosha kunasaidia kuweka mbegu za kiume katika hali nzuri. Kwa hiyo ikiwa mnajaribu kupata ujauzito, sasa ni wakati mzuri wa kufikiria kufanya mabadiliko mazuri ya maisha. Ni mlo gani wa afya unahitajika kwa baba mtarajiwa? Chakula cha baba mtarajiwa...
  9. BARD AI

    Leo ni Siku ya Chakula Duniani, uhakika wa chakula bora upoje kwako? 'Leave NO ONE behind'

    October 16 ya kila mwaka ni Siku ya Chakula Duniani. Siku hii inaadhimishwa ikiwa ni kuikumbusha jamii ya kimataifa kuwa, baa la njaa linaathiri kila mmoja wetu, awe tajiri ama masikini, katika nchi kubwa kiuchumi au nchi iliyo nyuma kiuchumi. Siku hii ni ilianzishwa na Shirika la Chakula na...
  10. R

    Kwa watanzania wengi fast food ni chakula bora na kinaonesha wewe ni tajiri!

    Asilimia kubwa ya watanzaia wanaona kula fast food ndio unakula chakula bora, na wanakuchukulia wewe kama doni wa mtaa. Chakula chako kikihusisha mboga kama bamia, dagaa na mboga nyingine za majani wewe unaonekana kapuku usiyekula vitu wa vya maana! Mtu anakula chakula bora chenye virutubisho...
Back
Top Bottom