chakula cha kuku

  1. Madam Ritha Massawe

    Sehemu sahihi ya kuagiza vifaranga ni s&q group of international limited

    AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO 1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100 2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI...
  2. K

    KARIBU KWA MAHITAJI YA UDUVI KWAAJILI YA CHAKULA CHA KUKU.

    Kwa mahitaji ya uduvi safi kwaajili ya chakula ya kuku piga +255679903535 Karibu sana.
  3. K

    Nauza dagaa kwaajili ya chakula cha kuku

    Habari ya leo wakuu, Ninauza dagaa kwaajili ya chakula ya kuku. Mawasiliano: +255679903535 Napatikana Dar es Salaam Bei: Ndoo ndogo 15,000. Ndoo kubwa 30,000.
  4. mhula

    Masoko ya dagaa chakula cha kuku

    Natafuta masoko wanunuzi wa dagaa chakula cha kuku naulizia kama kuna anayehitaji hao dagaa tuwasiliane pia mnaweza kunisaidia na kampuni nyingine zenye uhitaji wa bidhaa hii Asanteni sana
  5. D Metakelfin

    Chakula cha kuku bei juu masoko yapo chini. Tunafanyaje?

    Wakuu kama mnavyoona Chakula cha kuku kimepanda bei tena finisher ya backbone nilikuwa nanunua elfu 78,000 ila leo nimeambiwa 81,000 na bado kuku sokoni biashara ipo vibaya yaan inanilazimu hawa nilionao niwauze 5,500/= ili kukwepa hasara ya chakula maana wanakimbilia wiki ya tano Sasa au kwa...
  6. S

    Natafuta anayeuza soya ya chakula cha kuku jumla

    Naomba msaada anaejua mtu anayeuza soya ya chakula cha kuku jumla aniambie
  7. A man with no name

    Jinsi gani ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku na nguruwe?

    Habarini za jioni wanandugu, Nimekuja kwenu kuomba kufahamishwa au kuelimishwa namna ya kutengeneza chakula kwa ajili ya kuku, chakula hicho kikiwa na virutubisho vyote pamoja na madini yote. Naombeni muongozo wenu katika hili Asanteni
  8. Tom lee Ab

    Natafuta kiwanda cha chakula cha kuku Dar es Salaam

    Natafuta kiwanda cha chakula cha kuku DSM, pia nawezaje kuuza damu ya ngo'mbe iliyokaushwa?
  9. B

    Ufunguzi wa kiwanda cha kutengeneza chakula cha kuku

    Habari za jioni ndugu wadau. Nimekuja na wazo la kuingia kwenye biashara ya kuzalisha chakula cha kuku wa mayai na nyama Mtaji 200M (kiwanja kibaha, jengo mashine, raw materials, Vibali n.k), Lengo ni kutengeneza/kuzalisha Tani 10 kwa siku. Naombeni mwongozo kwenye ununuzi wa hizi mashine...
Back
Top Bottom