chakula lishe shuleni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Shule ya Msingi na Sekondari Goba Mpakani zinawarudisha nyumbani na kuwachapa wanafunzi wasio na hela ya chakula

    Mimi ni Mdau wa Elimu ninayeishi Goba Mpakani, Mtaa wa Tegeta A, Kata ya Goba, kuna changamoto ambayo imejitokeza ni miezi kadhaa sasa inaendelea kuwa kikwazo kwa Watoto wa Shule kupata haki yao ya msingi ya kupata elimu bora. Kuna utaratibu ambao umeanzishwa na Uongozi wa Shule ya Msingi Goba...
  2. JF Toons

     Mtoto wako (aliye shule ya kutwa) anapata chakula shuleni? Kwa kiwango gani mzazi/mlezi unahusika katika kufanikisha hilo?

    Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha huduma muhimu ya chakula na lishe inapatikana kwa Wanafunzi wa elimu ya msingi. Kulingana na Mwongozo wa Kitaifa wa Utoaji wa Huduma ya Chakula na Lishe kwa Elimumsingi, wazazi na Wadau wanatakiwa kuchangia vitu mbalimbali ikiwemo; Chakula Mafuta...
Back
Top Bottom