Mimi ni Mdau wa Elimu ninayeishi Goba Mpakani, Mtaa wa Tegeta A, Kata ya Goba, kuna changamoto ambayo imejitokeza ni miezi kadhaa sasa inaendelea kuwa kikwazo kwa Watoto wa Shule kupata haki yao ya msingi ya kupata elimu bora.
Kuna utaratibu ambao umeanzishwa na Uongozi wa Shule ya Msingi Goba...