Serikali imeweka utaratibu wa kuhakikisha huduma muhimu ya chakula na lishe inapatikana kwa Wanafunzi wa elimu ya msingi.
Kulingana na Mwongozo wa Kitaifa wa Utoaji wa Huduma ya Chakula na Lishe kwa Elimumsingi, wazazi na Wadau wanatakiwa kuchangia vitu mbalimbali ikiwemo;
Chakula
Mafuta...
Habari ndugu wazazi wenzangu!
Jana nilifanikiwa kuhudhuria kikao cha wazazi pale ugindoni primary iliyopi kigamboni!
Kikao kiliitishwa na maafisa wafuatao kutoka manispaa;
1. Afisa Maendeleo ya Jamii
2. Afisa Lishe
3. Afisa mmoja kutoka ofisi ya takukuru (w)
Walitueleza vyema umhimu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.