Kumekuwa na changamoto ya mazingira ya chakula hasa katika hizi Shule za Serikali zinazowaweka Wanafunzi bwenini.
Mara kadhaa Wanafunzi wamekuwa wakilalamikia uhaba wa chakula lakini suala hili limekuwa halichukuliwi hatua yoyote wakati sisi wenyewe tumepita huko.
Binafsi nilipitia changamoto...