Bashir Yakub, WAKILI.
+255714047241.
Mama wakati uko bize kujiandaa na mkutano wa Nishati Chalamila amemdihaki na kumdharau mwanamke wa Tanzania.
Mama wewe ni mwanamke, ulipata mimba, ulipata uchungu, na kisha uliingia Lab kujifungua.
Unajua vizuri kadhia wakati wa mchakato huu . Fikiria upo...
Hii inatoa picha Gani kwa taifa? Je kitendo kilichofanyika ni kitendo Cha kiungwana?
Mkuu wa mkoa anapata wapi ujasiri wa kuzungumza hadharani kuwa mama mjamzito akakatwe kisu na mumewe nyumbani?
Anapata wapi mandatory ya kuzungumzia rushwa hadharani?
Kwanini Rais ambaye ni mfariji namba...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kumchukulia hatua za kinidhamu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kutokana na kauli yake anayodaiwa kuitoa hivi karibuni ambayo wamedai kuwa inatweza utu wa...
Kuna ule usemi kwamba ukiwa na mtu ndani ya nyumba yako, akaamua kutumia rungu kuua mbu bila kujali mbu yuko sehemu gani. Sasa waswahili wanasema, kuna siku mbu anaweza kutua sehemu nyeti ya mwili, na muuaji mbu kwa rungu ataleta madhara makubwa!
Sasa naufananisha utendaji wa Chalamila na kauli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.