Ndugu wanahabari!
Karibuni sana kwenye tukio letu hili ambapo leo CUF- Chama Cha Wananchi kinaongea na Umma wa Watanzania, hususan Wazanzibar kupitia vyombo vya habari.Tunaanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu aliyefanikisha uwepo wetu hapa katika muda huu. Nawashukuru nanyi wanahabari kwa kuitikia...