chama kwenda yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. THE FIRST BORN

    Chama Kwenda Yanga hii inaonyesha kwa sasa hakuna Mchezaji anaweza ikataa Yanga ikimtaka

    Nisikuchoshe..wewe ndie Mchezaji ushacheza sana unaona kabisa unaelekea ukingoni Yanga hawa apa na Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya Nchi. Imekufata utagoma? Mfano tu Mi shabiki LiaLia wa Manchester United Imagine Leo hii Mchezaji...
  2. LIKUD

    Suala la Chama kwenda Yanga ( KIROHO)

    Words are instrument of creation. Maneno yanaumba. Kwa muda wa miaka minne mashabiki wa Yanga wamekuwa wakisema " Chama kasajiliwa Yanga, Chama kasajiliwa Yanga" Hatimaye Chama kasajiliwa Yanga kweli. Kwa miaka yote hiyo wakati mashabiki wa Yanga wakisema " Chama kasajiliwa Yanga" hawakuwa...
  3. denoo JG

    Usajili wa Chama kwenda Yanga -Yanga hamueleweki, sijui mna shida gani!

    Salaam Wakuu.. Nashangazwa na hizi kelele za midundiko na kukata viuno tunazopigiwa na wajuaji wa mitaa ya Twiga na Jangwani pale Kariakoo. Hawa wanashangilia leo kumsajili Chama, yule yule ambaye miaka yote walikuwa wakituaminisha ni mchezaji wa mechi ndogo. Ina maana huyu Chawa amegeuka...
  4. Superficial

    Simba mjiandae 2024/25😂

  5. T

    Nini Chama? Kulikuwa na Emmanuel Anorld Okwi, Nteze John Lungu na wengineo!

    Cloatus Chota Chama Nikiwa shabiki wa Simba niliupenda uchezaji wa Chama lakini nimekuwa nakerwa mno na tabia yake ya kuzua sintofahamu kila unapofika wakati wa usajili. Kwa tabia hii ni vizuri Kwa viongozi wa Simba wasibabaike na Hilo la Chama wamwache asuke au anyoe atajijua mwenyewe, kwani...
  6. KAGAMEE

    Why always Chama? Kama tupo serious mwacheni aende hana jipya tena

    Viongozi wangu wa Simba mwacheni huyo msaliti aondoke,akibaki itakuwa yale yale.Tutapigwa na Uto mpka tuchakae. Huyo anatumiwa na Manara kuuza mechi muhimu.Mwacheni×100.
  7. C

    Chama anasajiliwa Yanga kwa ajili ya kuuza jezi na kuongeza tu umaarufu wa brand ya Yanga

    Ukweli hawezi kuwa na nafasi kubwa kwa uchezaji wa yanga labda kama ataingia kwenye mfumo wao kitu ambacho ni kigumu. Yanga wanamchukua kwa ajili ya kuuza jezi tu.Wako kimkakati sana.Huyu hata akibaki Simba hawezi kuwa na utofauti sana na tulivyo muona msimu huu ulioisha. Yanga wanapata sifa...
Back
Top Bottom