changamoto umeme chanika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mr Why

    KERO Natamani kupata majibu kutoka TANESCO Chanika, Ilala kulikoni mnakata sana umeme huko? Shangazi yangu anaishi huko anadai umeme unakatika hata mara 10

    TANESCO Chanika, Ilala tunaomba ufafanuzi wa kwanini umeme unakatika sana Chanika mwisho pale eneo lote la Stand ya Mbagala Nina shangazi yangu anaishi Chanika mwisho anadai umeme unakatika sana kiasi kwamba wakazi wengi wanachoshwa sana na hilo tatizo Alinieleza umeme unakatika hata mara 10...
Back
Top Bottom