changamoto ya ajira kwa vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gilbert Prudence

    Kuna hatari kubwa ya kuja kutokea maandamano ya vijana kutaka kazi kwa maana ajira hakuna na mikakati hairidhishi

    Kuna hatari kubwa ya maandamano ya vijana kwa sababu ajira ni chache na mikakati ya serikali kupambana na tatizo hili ni ndogo ukilinganisha na ukubwa wa tatizo. Sioni mikakati madhubuti ya kusaidia vijana wanaomaliza kidato cha nne na kufeli. Sioni mikakati ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo...
  2. A

    Tunapoelekea ajira itakuwa ndoto kupata kwa watoto wa maskini na kama huna connection

    Binafsi, nilitambulishwa kwa mke wa Mheshimiwa fulani. Nikaona niwe na mawasiliano naye mara kwa mara kama dada yangu. Hivi majuzi, aliniuliza kama nilikuwa tayari nimepata ajira. Nilipomwambia kwamba bado sijapata, aliniambia atanisaidia kwa kuzungumza na mume wake ili aone namna gani anaweza...
  3. B

    Serikali inatufilisi vijana mliosema tujiajiri Waziri kafungia Ziwa Tanganyika wakati sisi hatuvui samaki wa mboga

    Habari za muda huu Rais Samia, nakupongeza kwa uongozi wako kama Mama wa Taifa letu, huku ukidumisha nafasi yako kama Rais. Rais Samia, mimi ni mmoja wa vijana wachache tuliojiajiri na tunachangia pato kubwa kwa Taifa letu la Tanzania. Hivi sasa tunakutana na changamoto kubwa sana. Mheshimiwa...
Back
Top Bottom