changamoto ya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Hivi waziri wa maji yupo kweli? Hii changamoto ya maji kwa wananchi haisikii? Wananchi wanteseka tena ndani ya jij anania gani. Watendaji wapo kweli?

    Huu ujumbe nimeuchukua kutoka kwenye grupu la wananchi Tumsifu yesu kristo,Bwana yesu Asifiwe,Mwanakondoo Ameshinda,Asalam Aleykhum Jamia'Shalom-Ndg Zangu Naamini Kila mmoja wetu ameamka salama na Familia. Kwa Unyenyekevu wa Moyo wangu' na Shukrani Kwa Mungu Nawatakia Siha Njema mliojaliwa...
  2. A

    KERO Goba mitaa ya Kwa Robert, Muhimbili, Mageti haina maji wiki ya pili sasa

    Ndugu zangu, kuanzia Mbezi mwisho kwenda Goba na mitaa yake (Kwa Robert, Muhimbili, Mageti n.k) maji ni changamoto karibia wiki ya pili sasa. Na hili joto tunaishia kuoga jasho tu, mamlaka husika naomba liangalie hili jambo. Huwezi amini kuna watu wanaenda kuchimba kwenye mabonde ya mito ili...
  3. R

    KERO TANGAUWASA sasa ni wiki hakuna maji, acheni uzembe huu usio na kipimo

    Sasa ni wiki hakuna maji sehemu za Jiji la Tanga. Nobody cares! Angalia tatizo ni nini na mtupe maji! Atakaye kuwepo mkutano wa leo wa Samia Mkwakwani stadium, please raise this issue maana sasa ni very serious! Mbunge Ummy take note of this!
  4. Roving Journalist

    Mamlaka ya Maji Singida (SUWASA) yaondoa changamoto ya maji Mtaa wa Ng’aida, Kata ya Kisaki

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) imefanikiwa kuondoa changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa huduma ya majisafi kwa wakazi wa Mtaa wa Ng’aida, Kata ya Kisaki, Manispaa ya Singida, baada ya kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji katika eneo hilo. Mradi huo...
  5. Roving Journalist

    Mamlaka ya Maji Singida (SUWASA) yaondoa changamoto ya maji Mtaa wa Ng’aida, Kata ya Kisaki

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) imefanikiwa kuondoa changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa huduma ya majisafi kwa wakazi wa Mtaa wa Ng’aida, Kata ya Kisaki, Manispaa ya Singida, baada ya kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji katika eneo hilo. Mradi huo...
  6. M

    KERO Changamoto ya maji Malimbe, Mwanza

    Malimbe asilimia kubwa ya wakazi ni wanafunzi wa chuo cha SAUT kwa asilimia 75 haichukui zaidi ya KM 10 kwa mkazi yeyote wa malimbe kufikia ziwa victoria lakini changamoto ya maji ni kubwa sana inafikia zaidi ya siku 4 mpaka 5 maji hayatoki. Tunaoba mlifanyie kazi hili tunaishi kwa taabu sana.
  7. A

    KERO Mbeya: Shule ya sekondari Mawindi wilayani Mbarali haina maji zaidi y wiki 3, wanafunzi wanatumia maji na mifugo na kujisaidia vichakani

    Rejea mada tajwa hapo juu. Shule ya sekondari Mawindi ambayo Inafanya Vizuri katika matokeo ya Kidato cha nne kwa Miaka mitatu mfululizo wameweza kufuta Division Zero. Lakini pamoja na Uwepo wa wanafunzi zaidi ya 1450 Maji ni tatizo kubwa. Kwa advance wanafunzi wote wanakaa bwenini lakini maji...
  8. Roving Journalist

    Singida: Serikali yakiri Kijiji cha Dominiki kina changamoto ya maji, yaelezea mipango

    Siku chache baada ya Wananchi wa Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kulalamikia kuchota dumu sita hadi 12 ili wapatiwe huduma ya afya katika Zahanati ya Dominiki ikiwemo kwa Wanawake wanaotaka kujifungua kutokana na changamoto ya maji, Mamlaka husika imekiri uwepo wa changamoto...
  9. Roving Journalist

    MWAUWASA: Tunafahamu changamoto ya Maji katika baadhi ya maeneo Nyegezi, tunaifanyia kazi

    Kufuatia andiko la Mwanachama wa JamiiForums.com kuhusu huduma ya maji katika baadhi ya maeneo ya Nyegezi Jijini Mwanza kudaiwa kuwa ni duni, kisha kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) ijitafakari kwa kuwa inawakwamisha Wananchi wengi wa maeneo hayo, Mamlaka hiyo...
  10. N

    KERO Maktaba ya Vitabu Zanzibar haina Huduma ya Maji, Watumishi na Wanachama tunateseka, tupo hatarini kupata magonjwa

    Mimi ni mmoja wa Wanachama wa Maktaba ya Vitabu ambayo ipo hapa Mjini Unguja, changamoto kubwa iliyopo hapa Maisara, Mkoa wa Mjini Magharib ni kukosekana kwa huduma ya maji. Naomba Wizara ya Elimu pamoja na Bodi ya Huduma za Makataba Zanzibar kushughulikia changamoto hii haraka iwezekavyo...
  11. A

    KERO Kimara Temboni Saranga mtaa wa Majeshi hatuna maji wiki ya pili sasa, tunalazimika kununua ndoo ya lita 20 kwa Tsh 800

    Habari za muda, Mimi ni mdau kutoka Kimara Temboni Saranga mtaa wa Majeshi, tuna changamoto ya maji kukatika ni wiki ya pili sasa hivi inaelekea na tumesharipoti kwa DAWASA lakini hadi hivi sasa hatuna huduma ya maji inabidi tuende hadi umbali kadhaa kupata maji na imefikia hatua tunanunua maji...
  12. N

    KERO Kuna mgawo mkali wa maji unaoendelea kimyakimya jijini Dar, Waziri Aweso unafahamu hili?

    Jiji la Dar es salaam linapitia mgawo mkali wa maji unaoendeshwa kimyakimya huku ukitesa watu wengi. Mathalani, katika uchunguzi wangu kupitia ndugu zangu wanaoishi maeneo mbalimbali ya jiji hili nimebaini maeneo yote ya Kimara, Ubungo, Mbezi, Gongo la Mboto, Kinyerezi, Tabata, Bonyokwa...
  13. Waufukweni

    LGE2024 Mwenyekiti wa CCM Mbeya: Changamoto ya maji inaenda kuisha Jijini Mbeya, tunaleta mradi wa bilioni 117

    Mwenyekiti wa CCM Mbeya amesema changamoto ya maji inaenda kuisha Jijini Mbeya ifikapo mwakani (2025), kutokana na kupelekwa kwa mradi wa zaidi ya TSh. bilioni 117. Ametoa kauli hiyo katika uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Pia, Soma: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya...
  14. A

    KERO Dodoma: Wakazi wa mtaa wa Mapinduzi, Makulu Oysterbay hatuna maji takriban miezi miwili

    Habari JamiiForums, mimi ni mkazi wa Dodoma, Makulu Oysterbay mtaa unaitwa Mapinduzi. Ni miezi miwili sasa maji hajawahi kutoka hata tone maji na hamna taarifa yoyote wala tahadhari na ni hali ambayo imekuwa inatokea mara kwa mara bila maelezo yoyote. Tumeshafika kwenye ofisi za wahusika na...
  15. Waufukweni

    Mbunge Hamis Taletale Atimiza Ahadi: Aondoa Changamoto ya Maji Chumvi Katika Vijiji vya Mgude na Ngerengere

    Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ametimiza ahadi yake kwa Wananchi wa kata ya Ngerengare baada ya kufanikisha kupatiwa huduma ya maji baridi ambapo jumla ya matanki matatu yametolewa na Serikali kusambaza maji katika Vijiji viwili vya Mgude na Ngerengere. Kwanzia sasa Vijiji...
  16. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 1.3 Kutatua Changamoto ya Maji Kijiji cha Kumubuga, Ngara

    BILIONI 1.3 KUTATUA CHANGAMOTO YA MAJI KIJIJI CHA KUMUBUGA, NGARA Serikali imetenga Shilingi Bilioni Moja na Milioni Miatatu (Bilioni 1.3) ili kutatua changamoto ya tatizo la Maji katika Kijiji cha Kumubuga Kata ya Nyamagoma wilayani Ngara mkoani Kagera Kauli hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo...
  17. Mkalukungone mwamba

    KERO Wakazi wa Kijiji cha Lipwidi waendelea kuhangaika na changamoto ya Maji licha ya maombi ya miaka kwa mamlaka husika

    Wakazi wa Kijiji cha Lipwidi katika halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakiwaomba viongozi wao ngazi ya kata na wilaya kuwasaidia kutatua changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji katika Kijiji chao lakini hawasaidiwi, Aidha wamemuomba Rais Samia Suluhu...
  18. M

    KERO Changamoto kubwa ya maji kata ya Masagalu

    Jaman hii shida iko mkoa wa Tanga wilaya ya Kilindi kijiji cha Masagalu kata ya Masagalu, wanawake wanaumia kwa ukosefu wa maji, maji yenyewe ni ya shida na yako mbali. Hivi hawa viongozi wanafanya kazi gani?
  19. D

    KERO DAWASA, watu wa Mbezi Luis Makabe mpaka kwa Robert hatuna maji yapata wiki sasa. Mhandisi hapokei simu, namba ya huduma kwa wateja haipatikani

    Sisi wakazi wa Mbezi Luis, Njia panda Makabe mpaka kwa Robert tunakaribia wiki sasa hatuna maji na hakuna taarifa rasmi yoyote toka kwa mamlaka husika. Tumekuwa tukinunua maji kwenye magari na bill imetoka kwa kiwango kilekile ingawa kwa mwezi wote huduma ya maji imekuwa ikisuasua. Tunaomba...
  20. mwanamwana

    DAWASA: Changamoto ya maji Tabata kuisha Disemba 2024

    Mhandisi Mkama Bwire, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar Es Salaam (DAWASA) amesema sasa changamoto ya maji inyoikumba Tabata itakwenda kuisha Disemba "Kuna Tanki kubwa lenye uwezo wa kuhifadhi lita za Maji milioni 9 kwa siku, ambalo linajengwa kwa...
Back
Top Bottom