changamoto ya mikopo mtandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    Kampuni zinazokopesha kiholela mitandaoni kufungiwa na BOT kumeepusha Watanzania na bomu la limbikizo la madeni makubwa yasiyolipika

    Maisha ya mjini, kama vile Dar es Salaam, yamejaa changamoto za kifedha, huku dharura za ghafla zikivuruga bajeti za familia nyingi. Katika miaka iliyopita, kampuni za kukopesha fedha mtandaoni zilionekana kama mkombozi wa haraka kwa wengi waliokuwa wakihitaji pesa za dharura. Hata hivyo, nyuma...
  2. realMamy

    Mikopo mtandaoni bado ni Changamoto kubwa ya kuaibisha wakopaji kwa ndugu, Jamaa na marafiki

    Baadhi ya App za Mikopo zinatesa wananchi wanaandika wanakopesha kwa siku 100 lakini baada ya siku nane wanadai wananchi. Riba zao pia ni kubwa sana na ni mzigo kwa mwananchi wa kawaida.Serikali ifuatilie hili kwa kina kama haina maslahi nalo. Wananchi pia wapewe uelewa kuhusu Mikopo hii...
Back
Top Bottom