changamoto ya mtandao wa vodacom

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Waziri Jerry Slaa aingilia kati sakata la kukosekana kwa huduma za mitandao ya simu. Aiagiza TCRA kuchukua hatua

    Wakuu, Kwa siku mbili tatu hizi kumetokea changamoto kubwa ya mtandao kwenye upande wa MPESA ambapo watu wamekuwa wakipata changamoto katika kutokea na kupokea pesa kupitia mitandao ya simu. Soma pia: Vodacom yafafanua changamoto ya mtandao inayoendelea, wanashughulikia kumaliza tatizo...
  2. Mowwo

    Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukuwa hewani

    Kwema? Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani. Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi. Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi. Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo. Je, Vodacom...
Back
Top Bottom