Jamaa ni kama wametumwa kutoka kuzimu kuondoa amani ya watu duniani.
Ni kama mashetani, nahisi hata zilipo ofisi zao ni sehemu ya kificho.
Wanajua kukera mno.
Hawaelewi chochote zaidi ya fedha.
Wafanyakazi malipo yao yako kulingana na jinsi wanavyokusanya, hivyo wako tayari kwa lolote ili tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.