changamoto za biashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

    Siku ya kufa nyani wakuu. Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi. Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu. Wakuu tayari...
  2. Msaada: Nikipokea simu ya biashara mbele ya rafiki, ndugu au mke piga ua haifanikiwi, nifanyeje?

    Mimi ninafanya shughuli za kujiajiri mwenyewe, kitu ninachoshangaa ni pale nikiwa na rafiki/marafiki, ndugu au wife halafu nikapigiwa simu na mteja wangu tukaanza kupatana bei. Baada ya hapo piga ua garagaza hiyo kamwe haitafanyika hata iweje, jambo hili limekuwa linaniumiza kichwa muda mrefu...
  3. J

    RC Chalamila: Wafanyabiashara wa Kariakoo wajitafakari, migomo siyo suluhisho

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila ametoa tamko la kuwataka Wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Dar es salaam kujiepusha na migomo na kila mmoja kujitafakari, hii ni baada ya kusambaa kwa taarifa jana kuhusu Wafanyabiashara wa Dar es Salaam na Mikoa mingine kupanga kugoma. Akiongea...
  4. A

    KERO Kadhia wanazopata Wafanyabiashara Mbezi Stand ya daladala ya juu

    Leo hii nimeamua, kushika kalamu kuandika hili kwamba wafanyabiashara wadogowadogo waliopo Mbezi wanapata kadhia sana kwenye kufanya shughuli zao za kila siku, ila wenye taabu kubwa ni wafanyabiashara wa ice cream (ukwaju) wanapata kadhia wakiwa katika stendi ya daladala ya juu kutoka kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…