Hii ni kwa watumiaji wa Mabasi ya Mwendokasi tuu jijini DSM.
Kwa kuwa Serikali haina mpango wa kupunguza adha inayotukabili abiria wa mabasi haya.
Na kwakua sisi abiria hatuna mpango wakuilazimisha serikali kufanya hivyo.
Ni vyema sisi abiria tukapeana mbinu mbalimbali, zitakazotusaidia kama...